Search results

  1. Save NUNDU

    SoC04 Tatizo la Traffic Police barabarani

    Tatizo la Traffic Police barabarani: wananchi tunacheleweshwa sana kwenye shughuli zetu tukiwa kwenye daladala kwa daladala hiyo moja kusimamishwa mara kadhaa na Traffic kwa trip hiyo hiyo moja. Kwanini zisitumike mbinu mbadala? Viongozi wetu wanasafiri nchi za nje sana na wanaona nchi za...
  2. Save NUNDU

    SoC04 Serikali itengeneze mazingira ya raia kupata ajira za kudumu

    Tanzania tuitakayo ni lazima Serikali yetu itengeneze miundombinu ya raia wake kupata ajira ya kudumu na hilo litasaidia rushwa kupungua kama sio kuisha kabisa, mfano: katika familia ya watu 11 namaanisha baba, mama na watoto ni baba peke yake aliyeajiriwa huku watoto wamekuwa wakubwa na...
  3. Save NUNDU

    SoC04 Uzinduzi wa awamu ya Nne wa Shindano la Stories of Change 2024, Zaidi ya Tsh. Milioni 50 Kushindaniwa

    mimi ni mpya kwenye stories of change, naomba kuhuliza viongozi kama tunaandika chochote tu au kuna topic ambayo tunatakiwa kuongelea?
Back
Top Bottom