Mwakyembe unamkosea Mungu wako hujasimama kwenye ukweli katika jambo kubwa kama hili la kulishwa au kupakazwa sumu. Sema ukweli kuhusiana na jambo hili may God bless you brother
Mwakyembe unamkosea Mungu wako hujasimama kwenye ukweli katika jambo kubwa kama hili la kulishwa au kupakazwa sumu. Sema ukweli kuhusiana na jambo hili may be God bless you brother
Poleni na msiba katka ajali hiyo mbaya iliyotokea Moshi Kibosho Rd. Amefariki mtu mmoja ambaye ni Aron Mtei kakaake aliyekua anaendesha gari hiyo aina ya Toyota Hilux ameumia vibaya na amelazwa hospitali ya KCSMC Moshi ambaye anaitwa Hendry Mtei
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.