Ni sahihi kabisa Ndugu zangu kuna Wazazi sijui wanategemea nini juu ya watoto wao coz wanafanya mambo mengi mabaya afu watoto wao wanangalia baadae watoto wanahalibika wanaanza kusema watoto hawa hawana adabu.mmmmmmmm.....hapana inakela wazazi tuwape makuzi mazuri watoto wetu pamoja na maadili...
Mbona wao hawachangii chochote au hawapo humu?noooooo wao kwanza ndo waanzilishi wa hii kitu na kwanza tumewaona,afu kwa nn waache ubunge nawakati huo walikuwa wanajua nn wanakifuata?noooooooo makinda kuwa mkweli una lako jambo au ndo unataka kutimiza ya mwanalisi kuhusu baraza jipya ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.