Kikwete ni muda wa kuudhibitishia ukweli watanzania kama tuhuma hizi ni za kweli na kwa nini atajwe mkapa ,Baba wa taifa kapotea nahisi tukizembea hata Kiongozi wetu atapotea alafu tutapewa Story
Tanzania rushwa inawezekana kuisha kuna malipo kwa njia ya electronics ukukamatwa bora ulipe kwa njia hiyo ziwekwe hizo njia mambo ya kuandikisha makaratasi yamepitwa na wakati umesikia kamanda wa POLISI SHULE IPO
Duniani kote wanajua maradhi yaliyokuwa yanamsumbua baba wa Taifa mwalimu Nyerere sasa watu wanapotosha Kizazi cha taifa letu ,huyu Mkirua kwenye jamii Forum si mtu mzuri anawafundisha nini kizazi chetu kuwa taifa letu ni taifa la Wauaji Mungu akusaidie na serikari ukusaidie pia kwa njia...
People are always shouting they want to create a better future.bu remember to be masters of the future is to change the past." na msikubali kuwa wajinga kuna watu wanapenda mabaya kama bibikuku na wengine JK kajishusha na amekubali kusahihisha mapungufu yake Tumwombee dua sawa jamaniiiiiiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.