Umenena rais anapigana vita nyingi mwenyewe kwenye dunia ya leo kushinda ngumu. Ilipaswa ashirikiane na watanzania wote bila kujali political affiliation ili adui awe mmoja tu. Lakini sasa kumekuwa na multiple enemies.
Yule naye alikuwa mtu asiyejulikana haloo hata polisi hawakumuona. Watu wasiojulikana hata kuwaona na kuwatambua ni kazi ngumu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko siku watathibitiwa hata wao waache waendelee tu. Watahukumiwa kwa makosa yao tu wasisahu jinai huwa haifi hata siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hatari sana kuwa taarifa za kamati ya bunge hazijadiliwi tena bungeni bali via live coverage na kwa presidaa haya bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote ni makamanda na walipitishwa na Kamati Kuu maana walionekana wanatosha kwenye hizo nafasi.
Hata Angelita profesa Safari bado kuna ambao wangekosoa tu.
Tuwape tu muda kila mtu anazo strength na weakness.
Yeye ndiye kiongozi aliyechaguliwa na wafiwa kuwa kiongozi wa jimbo hivyo siyo sifa ni haki yake kabisa kuwapa pole watu wake
Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
Sijakuelewa kabisa. Nani katukana labda? Ukweli unabaki tu kama ulivyo mbunge wa jimbo na mayor walipaswa kutoa salaam kwa watu wao. Kama kuna mtu anasema hawana maana aeleze hao wengine walikuwa na maana gani basi? Tunapochangia hapa hatujuani ila kwa maandishi yako tunakuelewa ulivyo maana...
Lema ameshiriki huu msiba wa watu wake kikamilifu halooo acha kushabikia chuki za kisiasa maana hata wewe huwezi kuwa salama uhasama na chuki za kisiasa zikifikia kilele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.