ndugu yangu hongera wewe hujawahi lishika hilo gazeti. Mwenzio niliwahi fungiwa vitumbua uswahilini nilipoona ni kipande cha gazeti la jambo leo nilitupa vitumbua vyote chini kwa hasira.
so unataka kutuaminisha kuwa chadema ni chama cha watu wa kijiweni na wenye uelewa mdogo? Nafikiri wewe akili zako ni kama za bata. Hujui kuwa mtaji wa ccm ni hao watu uliowataja!!?
huyu shekhe kuna wakati aliwahi kusema anataka waislam watibiwe na waislam na waislam wanawake watibiwe na madaktari wa kike bila kujua idadi ya madaktari kwa uwiano wa dini na idadi ya madaktari wa kike. pia hakujua idadi ya hospitali zinazomilikiwa na wakristo na zile zinazomilikiwa na...
Nepi alisema wanaohama wamepoteza mvuto katika chama na wanatekeleza agizo la nec kwa vitendo. kwa mwendo huu basi ccm wote watakiwa kutekeleza agizo la nec kwa vitendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.