Ndugu zangu wana JF nina mdogo wangu alipata shida ya meningitis pindi alipokua mdogo lakini inaonekana kua ugonjwa huu ulihathiri mfumo wake wa uongeaji akiongea maneno yake ni kama hayaelewiki kwa wepesi.
Kwa kulitambua hilo tuliamua kumpeleka shule ya mahitaji maalum lakini cha ajabu mpaka...
Habarini, wanajamii wa forum nimatumaini yangu kuna hamjambo
Kuna jambo linanitatiza sana.
Kwa sasa ni mwanafunzi wa shahada na naingia mwaka wapili lakini kila nikirudi likizo nyumbani swala la kukaa tu nyumbani linanitatiza sana nimekua nikiwaza bila kupata majibu sahihi.
Ningetamani sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.