pole sana jaman, hii yote ni coz ya uongozi mbovu. hao madaktari wangesikilizwa yote yacngetokea kbs, wananchi wanakufa viongozi wamekaa kimya wao wanaenda kutibiwa India. Maskin anakosa matibabu na kuambulia kifo. Inauma sana tena sana. jaman tunaamani coz waTanzania 2wavumilivu mno tena sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.