Mlioko Tanzania naomba mtupe ni jinsi gani masuala haya ya ufisadi na skando za BOT zivyofuatiliwa na vyombo vyetu vya habari huko nyumbani.
Nina wasiwasi kuwa inawezekana niliye nje ninakuwa well-informed kuliko waliopo ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.