Habari ya JF, Naomba kufahamu jinsi ya kuanzisha mradi wa mashine za kukoboa na kusaga nafaka kama mahindi na mpunga . Aina za mashine , changamoto na utaratibu upoje ili niweze kuchukua hatua
Nawasirisha shukrani zangu [emoji120][emoji120] kwenu wana JF
Habari [emoji2772] zenu wana JF
Nimekuja hapa shida yangu kama inavojieleza hapo juu[emoji115]
Mke wangu kila tukifinya sex papuchi (uke) wake unavimba hasa mashavu yapapuchi
Shida nini na matibabu yake nivipi?
Natanguliza shukrani[emoji120]
Uwajibikaji na utalawa bora ni muhimu sana katika kuchochea kilimo kukua. Hapa kuna mambo muhimu ambayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuchochea na kuleta mabadiliko chaja katika sekta ya kilimo,
1. Elimu na Utafiti:
• Kuanzia vituo vya mafunzo na kuwapa wakulima mafunzo juu ya mbinu za kilimo...
1. Udhibiti wa Mfumuko wa Bei:
Mfumuko wa bei unaweza kuathiri thamani ya fedha. Serikali inapaswa kuwa na sera na mikakati madhubuti ya kupunguza mfumuko wa bei ili kudumisha thamani ya fedha. Kwa mfano, Benki Kuu inaweza kutekeleza sera ya kupunguza utoaji wa fedha ili kuzuia mfumuko wa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.