Search results

  1. F

    Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

    Basi acha ijengwe tuone ni wapi pamelazimishwa unachohofia wewe ni kuhisi utatoa upinzani mkali badala ya kukiona kama ni moja ya viwanja vitakavyongeza fursa na uwekezaji ukanda wa ziwa sanjali na kusogeza huduma huku tofauti na hali ilivyosasa tunaingia extra cost za kuunga ndege wakati...
  2. F

    Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

    Mimi binafsi ninajamaa zangu wawili wanafanya kazi South na familia zao zipo huku, wapo walioko Saudi, Mauritius, USA nk na wanalalamika sana kuhusu kukoseka kwa International Airport wewe unapinga kivipi, Majuzi hapa Mh Rais Mama Samia alikili haipendezi minofu ya Samaki kutoka Mwanza kwenda...
  3. F

    Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

    Bro haipendezi kuwasemea watu tulioko huku tunauona huo uhitaji na hata serikali inauona huo uhitaji sasa kivip wewe useme abilia hawapo unataka shughuli zipi zi determine uhitaji wa International Airport tumekwambia uwanja haujaanza lakini tayali international flight zaidi ya kumi zimeshaomba...
  4. F

    Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

    Kuna Wafanyabiashara wangapi wanaenda nje kutokea Mwanza na mikoa ya kanda ya ziwa, Vip je Kampuni za Madini zenye Foreigners kama Capital Drilling, Scandinavian, Buzwagi, Geita Gold, na Mgodi mwingine unataka kuanza Nyanzaga, Usafirishaji wa Bidhaa zitokazo ukanda huu kama Samaki, Bondo...
  5. F

    Mtanda fuatilia kwa karibu mradi wa jengo la uwanja wa ndege la kimataifa Mwanza, limesimama tena

    Dah ila hii nchi tunachelewashana wenyewe Centralization haijawahi kulitoa taifa Lazima tujifunze Decentralisation ili tuongeze base ya Mapato yetu na kusogeza Huduma kwa Wananchi yaani kweli unaona ni sawa minofu ya samaki kusafirishwa kupitia Entebe na Nairobi kwa hoja tu tuendelee kufeed KIA...
  6. F

    Serikali haina nguvu na ubunifu kukimbizana na kuendeleza ukuaji wa miji nchini

    Wazo zuri sana tuandae fursa mbadala wakati tungali tunasehemu za uzalishaji sio uzalishaji ukikoma na pesa ikakata ndio tuanze kuumiza akili, ni aibu kuishi bila Plan B hata kwenye maisha ya kawaida
  7. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Hapana kaka mi Siwezi kuichukia Arusha maana ni Tanzania yetu sote hapa tunapeana challenge tu ikiwezekana mpambane mjinasue mlipo
  8. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Wanawasaidia kaka bila kuwapelekea vikao na kuwajengea Taasisi nyingi za Serikali we unafikili uchumi wao utasisimuliwa na nini, ukilinganisha na Mwanza maana utalii ni wa Mzungu wakati Mwanza Wavuvi kila baada ya week tatu Wantegeluka wanajibebea maokoto, wale wakuvua Samaki kila it iitwapo...
  9. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Mmejaza miti alafu huku mnatuletea Video za kutengenezea studio
  10. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Tofautisha video za kutengeneza na uhalisia mladi wenu huu hapa japo kwenye mazingira nawakubali ila acheni mbwembwe dunia kiganjani
  11. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Chakushangaza huo Mladi wa mwaka juzi tu hapo utajaa nyumba nyie wazee wa satellite city toka kikwete hajatoka madarakani ephrahim kibonde hajafariki anatangaza hou mladi mpaka leo bado mnatangaza viwanja, km 12 toka katikati ya mji tena uwanja wa ndege upo karibu tu hapo bado mnasuasua Mwanza...
  12. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    We bado kumbe urasimishaji tumepimiwa unapimiwa hivyohivyo ulivyo, Wanaopanga ni hao wenye miladi hiyo kumbe hata hujawahi kushiriki urasimishaji, Hawa ndio wanaopanga mji urasimishaji hawapangi mji unapimiwa ulivyo unapewa hati
  13. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Mimi sio Mtu wa Ardhi nenda Pale Mwanza jiji watakuorodheshea japo kuna jamaa nawaona mtandaoni wanajiita Ardhi Mtaji
  14. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    https://youtu.be/CxQab7TVUG8?si=_ulPTl9SAbdht303
  15. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Hapo unaongelea Miladi ambayo mie naiona hapa kwenye Google hakuna kilichochegwa hapo miaka ludi, kama ni miladi isiyojengwa ngoja nikuletee
  16. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Hapo kilichokutisha ni hiyo Video ya kutengeneza tuonyeshe iliyotekelezwa ikifanana hivyo sio kwa Tanzania hii Hata hivyo huko nilikokuonesha pakiwekwa miundombinu kama Lami utapasahau achana na mavideo yakutengenezea studio
  17. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Ninavyojua mimi Slum ni sehemu yenye mlundikano wa nyumba duni bila mpangilio kiasi kwamba huduma za kijamii na miundombinu hazifikiki ama zinafikika kwa shida, Hakuna pahala dunian Viwanja vya High Density vikakosa na sehemu yeyote iliyopangwa kunakuwa na High Density nyingi, Medium Density...
  18. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Kuna jamaa akija mwanza anafikia Mabatini tena Mlimani akija hapa anahitimisha Mwanza yote ni Slum mara Mwanza haijapangwa
  19. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Wale wa National, Gedeli, Loleto, Buswelu mnakubalije kuitwa Slum wanangu wa Mwanza na sijagusa City center nipo tu naperuzi pembezoni mwa mji huku
  20. F

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Kwakweli hapa kwenye Vyuo sijawahi kuielewa serikali tunakosaje chuo kikuu cha kiserikali ukanda wote wa ziwa ,Maana huduma hufuata pence Mahitaji yani Mwanza Population ya 3.6 Million, Shinyanga 3. Something, Geita, Mara , Kagera mpaka Tabora huko hakuna chuo kikuu cha serikali zaidi ya Matawi...
Back
Top Bottom