Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa kujua maswali muhimu yanayoulizwa kwenye nafasi tajwa hapo juu.
Kiukweli hii ni kada ambayo siifahamu vizuri ila akitokea wa kunielewesha na kunipa namna ya interview zao zinakuaje naamini ntaleta ushindani.
Shukrani
Ndugu zangu wana jamvi, habari za muda huu?
Mimi nina jambo langu hapa kuhusu serikali kuwapa ajira vijana wa JKT, kila mwaka serikali huchukua maelfu ya vijana ambao huenda kujitolea huko Jkt.
Sasa cha ajabu serikali inashindwa kusimamia hawa vijana wetu kupewa ajira kwenye vyombo vya ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.