Mwaka 2006 nilitokea kumpenda kaka mmoja,na mdogo wake ndo alikua
akinitongoza sana.
Ila baada ya mda niliye mpenda alianza kunitongoza pia,kwakua nilikua
sija mkubalia dogo (na nisinge mkubalia),nilimkubali jamaa.
Dogo hakujisikia vizuri,you can imagine tulikua majirani tu.
Kulikua na kuto...
Nowadays a lot of couples are moving in together before marriage
..Its called come we stay ...
Some people say that its the best way to know if
you are compatible. That its like test driving a car.
You will know if u can stay together as a married couple
.....But others say most of these...
Yawezekana sio mdogo kama unavodhania.
Ukiniona unaweza dhani niko under 18 vile,ni umbo la mtu tu.
Mama yangu sasa yuko kwenye early 50's lakini watu hudhani yuko kwenye late 30's.
Unless unamjua huyo binti,usi mjaji.
Sawa,lakini heshima haiji tu automatically siku zote.Ina tengenezewa mazingira.
Unaweza dhani ni wajibu wako kuheshimiwa lakini mwenzako akajitahidi sana na mwisho akachoka.
Asanteee.Lakini changia pia maana hiyo sio dictionary ni mtazamo tu.
Kila mtu akiukubali inaniwia vigumu kijifunza.Napenda kukosolewa kwa mtazamo huo hapo
juu ili nijifunze zaidi.Yawezekana ni sahihi,lakini yaweza kuwa sio sahihi pia.
Habari zenu wana JF.
Niliwahi kumuuliza mama yangu swali kwamba "ume weza vipi kudumu katika mahusiano kwa mda mrefu hivi
wakati ndoa zingine siku hizi naona zina vunjika baada ya mda mfupi tu".
Alionesha kukaa kimya na hakunijibu,ila jumamosi moja aliniita tukaenda sehemu na alinipa ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.