Search results

  1. man jusak

    Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

    Tuseme hesabu fizikia kemia hayo kwa mtazamo wa jumla wengi hawayawezi je hata somo la maarifa ya uislam pia Liwashinde! Wakisema mnawabeza na kuwaona si lolote si chochote "WAISLAM KUTOKUWA NA IMANI NA NECTA NI SAHIHI KABISA"
  2. man jusak

    Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

    Inavyoonekana wakereketwa wengi wa kikristo wanavamia mambo pasi na kutafakari Waislamu siku zote wanaonekana kama ni wadini pale wanapofuatilia mammbo yao ya MSINGI nakuombeni murejee matokeo ya kidato cha sita mwaka huu. Halafu mtajaji wenyewe kama hawa jamaa wa dufu ni vilaza au la.
  3. man jusak

    Education is a war

    Ili kupatia vizuri lengo la msemo huu (motto) tafsiri ya mtu yeyote ilenge upande chanya na sio hasi ni kweli "EDUCATION IS A WAR" kwa maana ya kwamba kuna vikwazo vingi vinavyokwamisha maendeleo wakati wa kuisaka elimu hivyo mwanafunzi hana budi kutambua hivyo na kuchukua hatua.
  4. man jusak

    ushahidi kuwa fedha za Ruzuku kwa wanafunzi haziwafikii walengwa

    kwa uwezo wa mungu tu lakin kwa staili hii aah wapi
  5. man jusak

    wanafunziwa kike udsm....wahusiswa na ukahaba na uchangudoa na kujiuza baa

    Kwa hali ilivyo dada zetu wanaathirika sana kutokana na matumizi makali ukilinganisha na kaka zetu walio wengi (kaka) hujifunga mkanda hadi jioni kuokoa maisha (rakaa moja kwa siku) lakini dadaz mh wachache. kiukweli sio udsm tu hata vyuo vingine ila sema havisikiki ila hali ni mbaya.
  6. man jusak

    Hadi lini

    Twafundishwa kwa kiingereza twajadili kwa kiswahili? hadi lini? (vyuoni)
  7. man jusak

    Tutaachana lini na lugha ya kiingereza?

    kila jambo linawakati wake, hivyo suala hili nalo litafika wakati watu hawataambiwa ila kwa vitendo vyao wataacha kukitumia hicho kiingereza.:bump2:
  8. man jusak

    Mtoto wa Magufuli afeli form four

    (kwel nimeamin madrasa znaharibu na ucmwamin mtoto wa ke ) unamaanisha nini mbona huko wazi, Madrasa na Magufuli kuna uhusiano gani?
  9. man jusak

    Pccb/wizara ya elimu, wizi wa mitihani ya F4, anzieni hapa

    kufanyika kwa uchunguzi kupitia matokeo haya ya f4 ni jambo la msingi kwani inaonekana baadhi ya watu wanafahamika hawajiwezi lakin bado wamefanya vizuri lakin wengine mhh hapana uchunguzi ufanyike
Back
Top Bottom