Brother mie kuna jembe langu lina PCB but imesimama ki_hivi DDC vip kuhusu huyu ana four ya 27 na result lake ni_civ D, chem D, geo D, eng F , kisw D, math F,phy D, hist D and bios C..,nifahamishe kuhusu hapo..
Yakupasa uweke link ilitupate uhakika....who are u. necta hawajasema we ndo umekuwa msemaji mkuu....acha kututisha bwana kama ni kinyume sema bwana 2congezeane presha coz kufeli c kitu chema mjomba.
Jamani muwe na huruma bac cku zote hizo hadi imekuwa tofauti na kawaida...hivi ni nani anapenda maisha ya kitaa tumechoka bwana au ndo MGAO KAMA TANESCO au NDO NYIE MNATAKA KUONGEZEWA MSHAHALA KAMA NI HIVYO MUWEKE WAZI COZ NCHI YETU NDIVYO ILIVYO...
Mie nadhan serikali yetu kama wangekuwa na akili timam pesa za nyongeza ya mishahara kama wangekuwa wanasupport sekta ambazo zimepanda kiuchumi ilikupunguza kukua kwa gharama za bidhaa ili kuwapa hakisawa watanzania wote sio viongozi tu......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.