Ni miezi minne sasa hatuna chakula,hatuna malazi,ni baada ya wenye nyumba kuchukua vyumba vyao kwa kukosa kodi zao.hatuna ada hivyo uhakika wa kuendelea na chuo ni mdogo sana na hivi tupo mwaka wa tatu.inasikitisha kuona tunasoma miaka miwili tukitambulika kama wanufaika wa body ya mkopo,ila...
Mm napata wakati mgumu kidogo kuelewa,imekua ni muendelezo wa matukio mbali mbali ya kikatili yakifanyika na idara ya usalama ikiusishwa.
Hivi karibun gazeti la mwanahalisi limetoa habari ya kuwashutumu idara hii kuhusika na kipigo cha kikatili kwa mwenye kiti jumuia ya madaktari tanzania dr...
We dada kama nimkubwa kama unavyodai hebu tumia ukubwa wako hapo.usikurupuke wala usiharakie maisha,huyo jamaa yako atawachinja.tuliza jazba muda ukifika kaeni chin na baba mtoto myajenge upya.
sasa hapo unanichanganya luku,mm ni kijana tayar namzid kidogo umri yeye anakama 27 kama sio 26.vle vle simuogopi ila nimempenda kweli had hofu ikaniingia,akijichanganya amekwisha kwani sina historia ya pelekwa pelekwa na mamanzi hawa,nauzoefu nao kimtindo.hebu niwekee mistari hapa ya kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.