Habari ya usiku ndugu wanajamvi, natumai sote tuko salama na tunaendelea vizuri ujenzi wa taifa. Niende kwenye mada Moja kwa moja.
Mimi ni mjasiriamali ambaye kwa kudra za Mwenyezi Mungu nimebahatika kujenga kaboma na Sasa nimefikia hatua ya kupaua. Kuna mambo mawili naomba kufahamishwa kutoka...
Baada ya msomaji mgeni tangu 2014 kwa kuburudika na nyuzi za kula tunda kimasihara,mazingira hatarishi kufanya mapenzi na kadhalika.
Hatimaye Leo nimeamua kuwa member niliye hai kabisa naomba mnipokee.
Ndimi CHAKULA KIBAYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.