Siku moja kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema kwamba, maumivu ya mgogo uzeeni ni matumizi mabaya ya makalio wakati wa ujanani, inawezekana hata mleta hii mada ana matatizo ya maumivu ya mgongo!
Hii ni siri yako! Hata yale mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam na kusababisha ndugu zetu kuhamia kwenye majumba ya nguvu kule Mabwepande, ni jamaa hawahawa wakiongozwa na makamanda wao. Hawa jamaa ni nuksi!
Kweli CDM ni hatari hata wanaweza sababisha mafuriko! Upofu huo!
I think one of the possible ways of retaining our respect is to try change the entire system i.e. over- whole the current leaders and try to plug new bloods!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.