Sasa mara wachezaji wa kuokoteza ila wana perform mara wakiingia hao wa kuokoteza kwenye mechi ya Azam itakua mauaji ya shorobera Kwa Simba tukuelewe vipi mbumbumbuzzzz.
Kwa ushindi gani wa kukataa magoli halali na kutoa hongo kwa marefa uchwara wa ligi hii.
Kwan huyo kajuna ana kipi hasa? acha akili za kishirikina wewe..
Alipoingia madarkani alijinadi kwamba yeye hawezi kua mtu wa kudhurumu haki za watu na hataki vitendo vya ki ukwaji wa sheria sasa hichi unachomshauri ni haki?
Nchi hii watu hawana ruhusa ya kusema wanachokifiria lakini pasipo kuvunja sheria.
Huyu mnae mtukuza huku mtaani hakuna anae muelewa huu...
Kolozuu,kolozwaaa,koloziii waga ndivyo yanavyokoroma yakiwa yamelala yakiota ndoto za kutisha mambumbumbu ndoto za misimu mitatu makocha saba mafanikio kombe la kibegi, channel ya Whatsapp na kombe la muungano.
Maisha ni safari ndefu toka kua bingwa wa shirikisho Afrika mpaka kua kocha wa mabingwa wa Muungano..
Tena ubingwa wenyewe unapewa na goli la babaka asali..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.