Hongereni sana cdm kwa kujikomba sana kwa ccm. Slaa asalimiana na kikweta, lema wafanya sherehe na mkuu wa mkoa, shibuda ahudhuria kuapishwa jk, mbowe atumia busara kukubaliana na ccm kuhusu wakuu wa wilaya, leo hii mnyika zito mnatafuta nini kwa nape. Safi sana mrema alianza kidogokidogo...
watanzania ni watu wa ajabu sana rais kasikia kilio chenu mnataka nini nyie. meomba katiba mchakato unaendelea, mmeomba kukutana naye amewakubalia, jamani ee e e e e e e ee e e e
lengo la mwalimu lilikuwa kuiunganisha afrika iwe moja na akaanza na kuunga zanzibar baadaye kenya na uganda. kura ya maoni haikuitishwa. bahati mbaya kenya na uganda wakakataa. sasa sababu ya kuwa nchi mbili badala ya tatu au moja ni uwiano tofauti kati ya zanzibar na tanganyika
hii ndo tanganyika bwana kila kitu ni upendeleo, we hushangai wapemba kupendelewa hadi kukalia ikulu ya magogoni. au wabunge wa zenzi kulipwa na watanganyika huku ikishindwa kulipa vizuri ma dr wa tanganyika we vipi?
Tunaitaka tanganyika yetu, mambo ya kuwapa ardhi wapemba sasa basi, mambo ya ikulu yetu kukaliwa na wapemba sisi kwao hawaturuhusu sasa basi, lengo la mwalimu la kuiunganisha afrika kwa kuanza na zenzi limeshindikana sasa turudishieni tanganyika. Sera yenu ya serikali tatu siiitaki kabisa leteni...
hapo ndo wabongo mnanipagaaaaaa utata, mnahitaji mshahara mkubwa au mnahitaji vyeo vya nyoni mtasiwa au nkya, simamieni point. wakifukuzwa hao nyie mtanufaika na nini dai posho yenu nyinyi. au mmesahau bunge lilishangiliwa kwa kutaka jailo afukuzwe lakini leo hii hayupo mmenufaika na nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.