Hongereni chadema kwa msimamo wenu thabiti juu ya kuhakikisha Tz inapata katiba mpya......... Lakini! mbona hili jambo mnataka kuliendesha kwa manufaa yenu? Kwa nn huu mchakato wa kuwaelimisha watanzania juu ya hii kitu msiwaachie wataalamu wa sheria? Na hata kama nyie mnawatu wanaojua sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.