Mheshimiwa mmoja alienda Kijiji cha Lubeho kuomba kura wananchi wakamuwekea Meza ili asimame juu na kumwaga Sera zake,bahati mbaya aliongea mambo mengi sana na kwa muda mrefu sana hadi wananchi wakaboreka na kuanza kuondoka mmoja baada ya mwingine.Kufumba na kufumbua watu wote wakawa wameisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.