ni mambo mengi yamejificha nyuma ya pazia "CHADEMA wanaona mbali, wametumia njia simple kuhakikisha wanalivunja jeshi linalompa kiburi MWIGULU NCHEMBA The Green Guard, jeshi ambalo ukilichunguza kwa makini ni Jeshi linalotambulika na serikali, MGAMBO mmegeuzwa The Green Guard. huku vijijini...
Uelewa mdogo wa kundi kubwa la wananchi ndio mtaji wake kisiasa, ndio maana anawaghilibu watu, namjua ni kati ya maripita wa miaka ile. NI MZANDIKI, MLAGHAI SANA. hana uvumilivu wa kisiasa hasa anapoelemewa. damu za watu wasio na hatia zitamgharim.
mwigulu ni mbunge wa jimbo langu, lakini ukweli kutoka moyonio mwangu nakiri kuwa SINA MBUNGE WA KUTANZUA SHIDA ZA WANANCHI, ILA NI MFITINI "HANA UTU" SIYE MTU HUYO.
mh Mwigulu ujue wanairamba walikuchagua uwatumikie na si kulewa madaraka uliyopewa naccm, majibu ya uovu unayofanya ndio hayo,wanairamba tunashukuru jinsi unavyojipalia makaa. next time hautupati tena, umetuzalilisha
Wan JF nimezidi kuingiwa na hofu kubwa juu ya visasi vya wazi wazi vinavyolipwa na viongozi wakuu wa nchi yetu zidi ya wananchi/wafanyakazi wake wanapodai haki.
Kitendo cha mh kuwakaanga walimu kwenye zoezi zima la kuandikisha sensa kisa waligoma, ni baya sana, na tafasiri yake ni...
wapi MWIGULU nchemba Madelu sahihi yako mkuu, inanamaana jukumu letu tulilokutuma hutaki kulitekeleza matokeo yake umeanza kufanya unayoona unamasilahi kwako na si yenye masilahi kwetu,
tunakusubiri tutakuuliza kwanini hauwajibiki kwa ajili yetu?
nawapongeza waheshimiwa wabunge wote...
mh. kikwete alitakiwa kuvunja baraza la mawaziri toka kipindi cha mgomo wa madakitari, akaifanya shingo yake ngumu, na sasa bado anajariribu kupuuzia kwa kudai ni upepo tu utavuma na kutulia. hii hali ya kuwalinda watu wake inazidi kumwangamiza pasipo yeye kujijua, akiamini ananususuru.
rai...
kila kitu kina "ukomo" na huu ndio okumo wao maana kila kitu watakuwa wanajichanganya wenyewe wakidhani wanaokoa,
na huyu bibie anatakiwa aburuzwe mahakani, na kama ni janja ili kuwapoza watu/madakitari waelewe watz sio wakudanganywa.
ndani ya magamba "ATAKAYE KULA NYAMA NI MWENYE KISU KIKALI"
kuhusu kuwavua gamba hawa jamaa, magamba hawawezi kuthubutu, tangu wamekutana na mtanange ndani ya maskani ya RA igunga, Gharama waliyoitumia kulikomboa jimbo hilo ni kubwa sana, hivyo wakiyavua magamba mengine watafulia kwa kuwa plan...
JUSA ANAMEUPOTOSHA UMMA:-
kama kweli anajua kuwa nchi yetu ni muungano baina ya tanganyika na zanzibar,
lazima akubaliane na mungano huo.
najiuliza kwa nini anafikiria kuwa ni kwa maslahi ya watanganyika na si muungano kama ilivyo ahinishwa?
kwa nini hapendi nchi yetu iongezewe eneo ambalo...
Ni kweli mkuu hawa jamaa wawili wanahitaji uangalizi wa hali ya juu tena si kwa nguvu za kibinadamu bali kwa uwezo wa mwenyeenzi mungu ili waweze kutufikisha NCHI YA KUSADIKIKA. tupo nyuma yao mungu awabariki.
pili nasi kundi la vijana tuache ushabiki, tuwe watekelezaji. tuamioni kuwa sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.