Mkuu Statent ya tigo pesa Niliiomba na mpaka leo ninayo haineshi kama kuna miamala ya kiasi hicho cha pesa ila miamala mingine yote ya kutoka Tigo pesa kwenda bank au kutoka bank kuingia Tigo Pesa ipo .Kifupi ni kwamba Nilishajiridhisha kama kuna namna yoyote nlwahi kuchukua pesa ama bank ama...
Mfano Mimi nilikuta Nimewekewa mkopo ambao sijawah uchukua nilipojaribu kufanya unachoshauri wakanambia nilichukua overdraft kupitia sim bank nikaenda mara ya pili wakanambia nliweka pesa kupitia simu(Tigo) miezi saba iliyopita bahati mbaya lile salio halikukatwa na tigo so walipofanya...
Yes ila hill LA kumpiga Masele sikuwah kuliskia pia hakuwah pewa suspension ,kuhusu kumaliza syllabus in kawaida ya Waboizia,,Hao uliowataja aliomaliza nao ni Harod Makambi Nila na Opiyo Tu wengine walikua Nyuma,Bila Shaka utakua ulikua JIRAN pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.