Unaweza kujiuliza tangia uhuru hakuna msimamo wa kiongozi mmoja unapishana na mwingine ndani ya chama kimoja lakini mambo yafuatayo yanatakufanya ujiulize sababu ni niini??
1. Awamu fulani inasema waliozaa wasirudi shule nyingine warudi shule
2. Awamu fulani tusiuze wanyama nje nyingine tuuze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.