Miaka ya nyuma baada ya kumaliza JKT tukiwa tunasubiri kwenda chuoni jamaa yangu tuliyekuwa naye JKT Mafinga akaja na wazo twende kufanya kazi ya ulinzi ili tujikwamue.. Tukaenda bwanaaa na kuonyesha vyeti vyetu vya JKT na bahati nzuri tukapata. Tukapangiwa lindo kila mtu kwake. Ile tuu siku ya...
Kuna jirani yangu mmoja baada ya kustaafu serikalini alinunua NOA na bodaboda mbili... Ikawa unamuona kwenye Noa yake na wakati mwingine na bodaboda yake... Baada ya kuwa mikoani kwenye mihangaiko yangu kwa muda mrefu, majuzi nimemkuta jirani yangu anaendesha baiskeli. Mwanzoni nikadhani ni...
Kwani ni lazima usome kila post? Watu wanajadili masimulizi ya CDF, ambayo ni haki ya watanzania kujua, wewe inakuuma nini? Ungeenda basi umkemee CDF, yaani watu waliokuwa naye mpaka mauti yanamfika hawaja mind ila wewe ambaye, hata mkono tuu pengine hujawahi kushikana naye una mind...
Ulikuwepo akikata roho ili kuhitimisha kwamba ni kifo cha kawaida? Kifo cha kawaida kikoje? Mfano babu yangu, ambaye nilikuwa nalala naye miaka hiyo, siku yake ya mwisho aliongea na kila mtu na wengine alisema waitwe, tena kutoka mbali na wakaja wakashinda naye. Usiku akasema hajisikii vizuri...
Shule zetu, hasa za St Kayumba je huwa wanakula mashuleni? Tuanzie hapo kwanza... Pili umechimbua vizuri na kujua chanzo cha hiyo programu ya chakula shuleni? Soma hapo chini..
Sijakataa baadhi ya hoja zako, uko sahihi. Sasa tukijitafakari kwa kina unaweza kuwashangaa hata viongozi wetu na hata baadhi yetu. Ukifuatilia hili jambo kwa mfano siyo la leo na wala hao Wamarekani hawajakurupuka kuleta hiyo misaada. Wameshaleta zaidi ya tani 3800 huko nyuma eti leo ndio watu...
Kitu ninachowaambiaga wacheza kamari za kisasa kama hii betting ni kwamba kama uliwahi kuijua probability kwenye statistics basi yatosha kuelewa kwamba msingi wake mkubwa ni kwamba mkicheza watu 1000 lazima watu 900 mpaka 950 mliwe ili fedha yenu walau itumike asilimia 20 - 30 kuwalipa hao watu...
Faida nyingine ya vyoo vya kukaa ni kwamba vina mifuniko. Chooni huwa kuna vijidudu/bacteria wengi sana na kama mtu angeweza kuona kwa kutumia microscope [emoji436] vijidudu wakati wa kura flash kinyesi angekimbia. Hivyo inashauriwa kwamba ukimaliza kushusha mzigo na kujisafisha, funika mfuniko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.