Search results

  1. S

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Salaam wakuu. Nimeona vema kumpongeza Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwatetea wanyonge. Hakika si kazi ndogo. Tunapoona watu wamejaa kwenye mikutano yake hii inamaanisha wanaimani naye. Na hakika anaweza kutokana na uthubutu alionao. Mkuu hata kama tumekutafsiri vibaya...
  2. S

    Ushauri kwa Chadema: Fanyeni uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu wake baada ya uchaguzi Mkuu wa 2025. Msiwape fursa machawa wa CCM nafasi ya hujuma

    Naanza kuona tatizo. Mbowe amekisaidia sana Chadema hadi hapo ilipofika. Lakini kinachoendelea hapo Chadema kwa sasa kinasikitisha sana. 1. Kwamba ktk CDM nzima asiye hongeka ni Mbowe pekee na wengine wote wanahongeka. Lissu, Sugu, Mnyika wanahongeka. Je, mlijaribu kuwahonga na wanahongeka? au...
  3. S

    Taarifa ya Hamas- Mauaji ya Nusseirat na operesheni ya uokoaji wa Israeli

    Hawa jamaa zetu kulialia kwingi sana.
  4. S

    Mexico: Claudia Sheinbaum achaguliwa kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo

    Umma wa Musa ulimwambia Musa na allah kwamba huku tulipokuja kuna watu (palestinians). Allah akasema wapigeni na mkaichukue nchi yao. Allah alipoona wanasita akawapa adhabu ya kuzunguka Kwa miaka 40. Mwisho wakakubali kuwachapa wenyeji na kuichukua nchi. Quran 5:20-26. Hapo hapo tena allah...
  5. S

    Jeshi la Israel laanza kukumbwa na ukata wa askari mfano yaliyoikuta Ukraine. Ndio sababu wanashambulia na kuhama maeneo. Askari wote 15000 wametumika

    Aiseee! kweli nchi za kiislam na waarabu waoga sana. Kumbe Israeli inawanajeshi 15,000 lakini wameshindwa kuwavamia na kuwamaliza. Hadi raisi wa Uturuki anasema waislamu waungane dhidi ya wanajeshi hao wachache.
  6. S

    Mexico: Claudia Sheinbaum achaguliwa kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo

    Wayahudi wameshindikana aiseee! aliyetuingiza chaka ni allah. Lawama zote kwa allah kwa ugombanishi wake.
  7. S

    Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

    "Watawala waliopinduliwa hawakujali sauti na matakwa ya wananchi".
  8. S

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Nyie watu nyie! Kwa ujasiri kabisa unasema ataishia 2030. 1. Uzima na uhai wa mtu umo mikononi mwa Mungu. 2. Nani kakwambia Samia atagombea 2025? (kwa kuwa anamalizia miaka iliyoachwa na magu). 3. Kama atatia nia ccm 2025 una uhakika atapenya mbele ya WATANGANYIKA akina Ndugai? Au ataikanyaga...
  9. S

    Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

    Unaakili nyingi sana mkuu. Hongera. Ingawa kwa kutumia akili umepotoshwa kwa habari ya uwepo wa Mungu kwa kuwa mambo ya Mungu yanahitaji akili na imani zaidi. Ni ombi langu kwa Mungu kwamba siku moja ajifunue kwako kama alivyojifunua kwa Sauli/Paulo. Barikiwa sana.
  10. S

    Twende mbele turudi nyuma, raia wa Tanzania ni tatizo pia

    Naamini kabisa. Hata siku ile watumishi walipokuwa wanaomba jangwani (kama sikosei) kwamba kila atakayeharibu uchaguzi na kuiba kura akutane na mkono wa Mungu, Magufuli alikuwa anaona kama wanacheza tu. Huyo naye ajiangalie. Kikwete aliwaambia ccm, msitegemee polisi jibuni hoja. Aisee mzee...
  11. S

    Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) walaani matamshi ya Paul Makonda

    Makonda ametusajili kwenye chama kipya kinaitwa UMOJA WA WAOVU, WALA RUSHWA NA WAZEMBE. Ukijaribu kumkosoa tu chama hiki kinakuhusu.
  12. S

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Makonda amesema amegundua kwamba wezi, mafisadi na wanaofanana na hao WANAUMOJA SANA. Ukimgusa mmoja tu wenzake wanainuka...
  13. S

    Makonda: Wezi na Mafisadi Wana Umoja Sana

    I Ila wewe jamaa!
  14. S

    Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

    Wewe kwa akili yako unaona hilo neno ni zuri? Hilo si ni tusi zito kabisa. Jiongeze brother.
Back
Top Bottom