Search results

  1. M

    Dodoma: Rais Magufuli aagiza kuchunguzwa kwa Airtel kama ni mali ya TTCL! Wapotoshaji wa Takwimu wachukuliwe hatua kali

    Bado na Kunduchi Beach Hotel na yenyewe tuichukue ni mali yetu.jamaa waliuziwa kwa $ 200 000 hadi sasa hawajalipia hata $100 walicheza deal wakauziwa na Motel Agip na Embassy Hotel halafu wakazalisha mgogoro wa wafanyakazi. Wanaiambia serikali malizeni mgogoro tuwalipe...
  2. M

    Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

    Wale ni wazee kwa sasa; kwa hiyo labda sababu ya haraka ni kuwa anaumwa ndio mana hajatokea, hata mwenzie pia sikumwona pia.
  3. M

    RPC Mwanza atoe tamko haraka askari wake kulewa wakati wa kazi na kupiga raia risasi

    Link hiyo hapo iko kwa You Tube; natamani tujue maendeleo ya hii kesi wale askari ni wa kufukuzwa kazi na kushitakiwa mahakamani kwa assault.
  4. M

    RPC Mwanza atoe tamko haraka askari wake kulewa wakati wa kazi na kupiga raia risasi

    Tukio la jana tarehe 08/ 08 askari wa doria kituo cha Mabatini Mwanza kumpiga mwenyekiti wa mtaa, na kumpiga risasi mke wake linahitaji maelezo ya kina. Hii ni kashfa, SMG ni siraha hatari kubeba ukiwa umelewa na je maadili ya jeshi la polisi yanasemaje? Na je hivi OC CID aliyekuwa eneo la...
  5. M

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Hivi "misguided" kwa kiswahili fasaha ni nini? Kila nikimuona TL hicho ndio huja kichwani kwangu na kwenye hili naona ndio amejifungua kabisa. Ukisikiliza hatuba ya baba J na ukasoma andiko la TL utaona kuna 1. Povu, jazba ambazo sijui anazitoa wapi 2. Upotoshaji 3. Too much vengeance 4...
  6. M

    Unapompa Mpinzani Ukuu wa Mkoa, Sehemu Ambayo Unapingwa, Nini Tafsiri Yake?

    Siasa za leo ukitafuta consistency utakwama ndugu yangu- angalia chief liar wa dunia alichohaidi wakati wa kampeni na anacho kifanya sasa huko ma mtoni.
  7. M

    Kwa wasiomjua Magufuli, Je, anafaa kuwa Rais?

    Duh!kumbe mambo yalianza mapema!
  8. M

    Kuteuliwa kwa John Magufuli ni pigo kubwa kwa upinzani!

    Mh!tuambie Magufuli maana yake nini kwa kisubi?
  9. M

    NEC yatishia kusitisha uandikishaji wa BVR

    Ni sie wenye magari ndio tunawadekeza, hawastaili kabisa kuchukua hizo hela lakini kwa kuwa tuanona ni kidogo basi hatujali. ...kama kawaida yetu...tunaishia kulalamikia humu baada ya kazi za siku nzima.
  10. M

    TRA tunaomba taarifa za ulipaji kodi za wanaotangaza nia ya kugombea uraisi

    Mzee uko "spot on" na ninafahamu angalau kwenye ccm hicho kipengere cha "....asiwe mkwepa kodi" kipo ila nina shaka kama wanaotangaza nia wote wamekizingatia. .. Ni wajibu wa kila Mtanzania mwenye zaidi ya miaka 18 ku "file" return ya mapato TRA kila mwaka,na ni haki kwa mtu yeyote kuiulizia...
  11. M

    Kikwete ateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani

    Haya sasa!wazee wa maharage mko wapi? Hakuna U-dini hapa? angeteuliwa kibandiko ungesikia kelele...!
  12. M

    Serikali tuhurumieni, kupigia magoti kwa kilicho chetu haifai!

    Serikali inamiliki hisa katika mashika yasiyopungua 150! Ambapo mategemeo yangu ni kuwa kwa uchache kama sio wakurugenzi watendaji basi kuna wawakilishi wetu katika Bodi za hayo mashirika. Miongoni mwa hayo makampuni ni kama Airtel ambao ni vinara wa kutunyonya.Lakini kwa kuwa Serikali yetu...
  13. M

    Urais 2015: Jina la Augustino Ramadhan lajitokeza

    ukweli tunahitaji radical changes na tukubali kuwa zitakuja na effects zake -kuna watakao umia in the process! Mimi hilo sina shaka nalo maana hata sasa tunaumia. Wasi wasi wangu ni kuwa hadi sasa sijaona sura ya radical changes hawa kina Makamba,Sita,Membe,etc sioni! Lowasa can do...
  14. M

    The East African na Citizen acheni dharau, hapa sio Kenya!

    Hivi Serikali yetu huwa ina utaratibu gani ku monitor kama bans zake zinaheshimiwa? Baada ya The East African (a.k.a Kagame's mouth piece) kupigwa ban naona wamerudi kwenye circulation kwa kutumia mlango wa nyuma! Wanatumia gazeti lao dada la The Citizen kutanganza jinsi yakulipata...
  15. M

    Mbunge wa bahi matatani tena kwa kashifa ya rushwa

    Hivi kesi ya Omary Badwel kwa kosa la kuvuta rushwa pale Peacock Hotel ndio ili-isha ki pinda pinda? (kimya kimya)au... maana jamaa bado anadunda tu wakati mkurugenzi mzalendo aliye mshikisha ilikula kwake -wakamhamisha hamisha sijui hata kafia wapi.
  16. M

    Mwigulu Nchemba na kashfa ya kudanganya umri

    Huyo jamaa alirudiaga shule primary kwanza jina la Mwigulu na ndio mwanzo wa hizi shida! Swali langu ni je? Huyo Mwigulu Nchemba Original yuko wapi? most likely hajasoma mana jina limeporwa!
  17. M

    Mwigulu: Namzimia sana Zitto, Kuliko wanasiasa wote vijana, ila kwenye urais anisubiri kwanza

    Kamwambie huyo Rais wako mtarajiwa kwanza atoe affidavit na awaambie Watanzania sababu ya kutumia jina la watu Mwigulu - born 1978 na kuliacha la kwake la Madehu! born 1975.
  18. M

    Presidential Bureau imeishia wapi?

    Wazo zuri utekelezaji sio! Hivi hata kuiga tu tunashindwaga nini? Kenya hapo tu wana "Kenya Vision 2030" iko makini na kazi inaonekana! za BRN mafanikio ni complicated hadi walete Marais wa nje kuyaona!
  19. M

    Kinana ampiga stop Mwigulu, amtaka asitishe ziara zake zote za Mikoani!

    Kweli kaka hapa tumewastukia!
Back
Top Bottom