Hivi kweli kama mtu ana uwezo wa kusoma elimu ya juu kwa kujilipia ada hii si ingekuwepo toka alipoanza kindagate.
watu mnakurupuka na mawazo ya kuwabana watanzania hata sehemu zisizostahiki, leo hii unampatia mkopo mtoto wa kitanzania kwa ajili ya malazi na mlo tu na hali ya watanzania walio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.