MKUU WA WILAYA YA MOSHI KIPPI WARIOBA AFUNGULIWA KESI MAHAKAMA KUU.
-NI BAADA YA KUDAIWA KUZUIA WANANCHI WA JIMBO LA VUNJO KUFANYA SHUGHULI ZA MAENDELEO.
-TAASISI YA MAENDELEO YA VUNJO CHINI YA BABA ASKOFU MSTAAFU WA KKKT ,MARTIN SHAO WADAI FIDIA YA BILIONI 2.
KILIMANJARO:
TAASISI ya...
Picha nzima ilikuwa hivi ,
Mbunge Agustino Mrema alialikwa na kanisa la Kinjili La Kilutheli Tanzania KKKT dayosisi ya Kaskazini kwa ajili ya sherehe za kumbukumbu ya aliyekuwa askofu wa kwanza wa Kanisa hilo Stephano Moshi,mualiko ambao pia alipewa James Mbatia.
Wawili hawa bila kujua kama...
MBUNGE wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe amelazimka kutumia kiasi cha sh
Mil 27 kuyalipia Ushuru magari mawili ya kubeba wagonjwa,aliyoahidi
kutoa kwa ajili ya hosptali ya wilaya ya Hai na ile ya Machame
inayosimamimiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli (KKKT).
Hatua hiyo inafuatia magari hayo...
Arusha.
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Nkoaranga na Poli wamevamia
shamba la Karamu (Karamu Estate) usiku wa manane na kuamua kuotesha
migomba kwa kile wanachodai kuchoshwa na serikali kushindwa kusikia
kilio chao cha kurudisha kwa wananchi ardhi ya mashamba makubwa
yaliyomilikiwa na...
Rais Jakaya Kikwete amempongeza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael (Chadema) ka utekelezaji mzuri wa miradi mbalimbali ya maenedeleo huku akiahidi kuendelea kutoa pesa kwa halmashauri hiyo kwa ajili ya kutekleza miradi mingine.
Kikwete alitoa kauli hiyo wakati wa shereheya...
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael mchana huu anafanya mkutano mkubwa katika uwanja wa Manyema mjini Moshi ukiwa na lengo la kuanika madudu yanayofanywa na baadhi ya watendaji wa Halmashauri ya Manispaa hiyo katika uporaji wa viwanja mbalimbali mali ya Umma.
Mbali na kuanika...
SAKATA la uporaji wa kiwanja kinachotajwa kuwa mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limechukua sura mpya baada ya theluthi mbili ya Madiwani wa Halmashauri hiyo ambao wengi wao wanatokana na Chadema kupitisha azimio la kusimamishwa kazi kwa muda ,Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Shabani Ntarambe...
SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini,Prof,Sopspeter Muhongo kutangaza kujiuzulu nafasi yake kufuatia kashfa ya uchotaji wa fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow,mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari ameibuka na kusema azma ya kumtoa Bungeni...
"Nyoosheni mapito ,mteuliwa wa Mungu apite."Hii hali ndio imejiokeza katika jimbo la Vunjo ambalo Mbunge wa sasa Dk Mrema a.k.a Mzee wa Jogoo amekataliwa nyumbani kwao na ngome kuu ya TLP Njia Panda ya Himo zanyakuliwa na NCCR-Mageuzi.
Katika Jimbo la Vunjo tayari matokeo kwa baadhi ya vijiji yameanza kutolewa ,taarifa za awali ni kwamba NCCR-Mageuzi inaongoza kwa zaidi ya vijiji 8 sasa kikiwemo kijiji cha Kilalacha nyumbani kwa Mbunge wa sasa wa jimbo la Vunjo Augustine Mrema.
BINTI wa Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi (CCM),mkoani Ruvuma Kapt. John Komba, Amfrosia Komba (41),amekivuruga Chama cha Mapinduzi baada ya kukihama na kuibukia NCCR- Mageuzi .
Amfrosia maarufu kama Zawadi Mlay ni mgombea pekee wa nafasi ya Uenyekiti wa serikali ya kijiji cha Ngaseni B,Kata...
MWENYEKITI mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia amewataka wananchi katika jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, kudai mgao shilingi 609, 000 kwa kila mmoja, toka kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM),fedha zilizotokana na ufisadi katika akaunti ya Tegeta...
Rombo.
CHAMA cha Mapinduzi katika wilaya ya Rombo kimeanza kumeguka baada ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji na Vitongoji kukihama chama hicho huku wengine wakitishia kuondoka na kuungana na wenzao kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa na Vijiji.
Katika kudhihirisha hilo Makada watatu wa CCM...
Chama cha wapagazi(Porters) wa mizigo ya watalii wanaopanda Mlima Kilimanjaro kinajipanga kufanya mgomo ,lengo likiwa ni kushinikiza serikali kusimamia malipo yao ya kiasi cha sh 15,000/= kwa siku tofauti na malipo ya sasa ya kiasi cha sh 500 wanazolipwa na kampuni za utalii.
Awali wapagazi hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.