Bila shaka JFs wote mu buheri wa afya. Wahenga waenziwe kwa msemo wao wa mficha uchi hazai. Mwenzenu najivua gamba baada ya kumpata diaresti ambaye nilimsaka kupita foramu hii ya jamii. Nilipata shaka wakati ninaipachika ukutani ukizingaitia kwamba mtu mwenyewe alitakiwa awe wa nchi jirani...
Da Neema mbona unaanza kutubagua na wakati hii ni jumuiya ya East Africa? Mpaka hapa nilipo mimi ni mnyarwanda na nimeamua kumtafuta mnyarwanda kwa sababu nimemisi wa kuchat naye kikwetu.
I hope you are doing fine friends! I am so excited receiving your opinions. I real want a fiancee and this is very urgent not only the matter of kufulia. By the way all can not be mine but only the interested one can. The door is open and ones closed can not be reopened. Many blessings also...
Mi nahitaji mchumba kutoka Rwanda.
Awe na sifa zifuatazo
1. Mcha Mungu
2. Anafahamu Kinyarwanda na lugha nyingine yoyote inaruhusiwa ingawa Kinyarwanda kitapewa kipaumbele.
3. Miaka 21-23
Aniandikie kupitia e-mail address lkapilya@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.