RIWAYA: Fedha Au Risasi
MTUNZI: Emmanuel Phiri
NAMBA: 0758 195 890
SEHEMU YA 01
Aliamshwa toka usingizini kwa teke kali la mbavuni, akakagumia kwa maumivu makali yaliyosambaa mwili mzima kama siafu ashambuliavyo kitoweo chake. Sauti kali ya kukwaruza ililiteka anga, sauti yake ya asili ilikuwa...
RIWAYA: MATEKA
MTUNZI: EMMANUEL PHIRI
NAMBA: 0758 195 890
(KIPANDE CHA KWANZA)
UTANGULIZI
Licha ya baridi kuwa kali kwa sababu ya mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha, lakini bi Nadia Ali Rayan aliendelea kutokwa na jasho huku moyo wake ukimwenda mbio kama mtu aliyekimbia mashindano ya mbio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.