Au mnangoja mpaka ziara za viongozi ndo muache ubabaishaji wenu?
Toka juzi mmefungua nyaya za umeme ili uweze kukatwa mti ( nadhani hamkutaka mti uzingukie nyaya na kuleta madhara). Sa ajabu limekuja tayari zoezi la kukata miti katika hilo eneo kijiji cha Kamishango Kata ya Ikondo wilaya Muleba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.