Search results

  1. Kitombile

    Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

    Pumba na mashudu tu ulichoandika, kila mtu apambane na hali yake, ulitaka niwasemee watu wa simiyu wakati nipo Mwanza.
  2. Kitombile

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Kwa jambo hili hakika Arusha wapo vizuri na sisi Mwanza tunatakiwa kujifunza wao wamefanyaje kuongeza mapato mara mbili zaidi ya mapato ya awali.
  3. Kitombile

    Jiji ni barabara nzuri, nje ya hapo ni vijiji

    Huo ni uchafu wenu wenyewe, kama barabara zipo lakini wananchi wanaziharibu ni ujinga wenu wenyewe, majiji mengine hayana hata hizo barabara ni kama upo kwenye makorongo ya dafur.
  4. Kitombile

    Mwanamke kama huna bikra na hujaolewa wewe ni chombo cha starehe. Acha kuulizauliza eehh una mpango gani na Mimi au unataka kunichezea?

    Umepoteza bikra hapo subiri mwendelezo wa kuchezewa mpaka siku Mungu akikuonea huruma ndipo utaolewa au atakupumzisha mahali pema.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
  5. Kitombile

    Mwanamke kama huna bikra na hujaolewa wewe ni chombo cha starehe. Acha kuulizauliza eehh una mpango gani na Mimi au unataka kunichezea?

    Umepoteza bikra hapo subiri mwendelezo wa kuchezewa mpaka siku Mungu akikuonea huruma ndipo utaolewa au atakupumzisha mahali pema.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
  6. Kitombile

    Jiji ni barabara nzuri, nje ya hapo ni vijiji

    Bandiko bora kabisa hili, serikali yetu huwa inaangalia jiji la Dar tu na kwasasa Dodoma, majiji mengine yaliyobaki yanaonekana kama sehemu za wachunga mbuzi au sehemu za wavuvi naomba sana serikali iige hata hapo kwa jirani yetu kenya aone jinsi miji na majiji yalivyo na miundombinu ya uhakika...
  7. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Kuna route yenye abiria wwngi kama ya Dar na Mwanza? Pesa Mwanza ndio maana kuna uchumi mkubwa na fursa nyingi za uchumi ikiwemo uvuvi, biashara, madini, viwanda, utalii , kilimo n.k Kuhusu miundombinu ndio maana kunajengwa meli kubwa ya kisasa, barabara, SGR pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa.
  8. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Kwa Dodoma ni huduma lakini kwa Mwanza haina watu na bidhaa za kusafirisha, kati ya Dodoma na Mwanza wapi kuna abiria wengi? Umesoma geography vizuri mkuu? Unajua Mwanza ni hub ya nchi ya maziwa makuu ikiwemo, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, S.Sudan na E.Congo
  9. Kitombile

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Tutaona na arusha iliyowahi, coz Mwanza umesema imechelewa je uchumi wa Arusha unasoma GDP ya ngapi mpaka sasa na Mwanza ana ngapi? Kuleni hayo maukimbi na maviwanja kama yatawatoa kwenye uchumi wenu hafifu.
  10. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Wivu tu, mbona husemi litakavyoongeza uchumi wa Dodoma au Dar.
  11. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Shida ni viongozi wa kuteuliwa kila mtu anakuja na akili ya kula chake mapema nyie mbaki na uchafu wenu wa jiji, hii nchi ipo corrupt sana.
  12. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Reli ni muhimu sana sema ndio hivyo akili za kiafrika hazijaona matumizi sahihi ya reli na wakati sahihi na uendeshaji wa reli
  13. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Dodoma naona ndio imepata master plan sisi tulishazingua miaka kumi iliyopita lakini hakuna linalofanyika kuendana na master plan, hii nchi ngumu sana.
  14. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Sgr ndio uchumi kwenye ushoroba wa kati na nchi za maziwa makuu
  15. Kitombile

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Miradi ya Mwanza ni ya kuboost uchumi na kufungua kanda ya ziwa, daraja la jpm, meli ya MV Mwanza hapa kazi tu, SGR, via duct, masoko na stendi huo wote ni mnyororo wa kuinua uchumi, nyie arusha endeleeni kujengewa viwanja na maukumbi ya maonesho๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
  16. Kitombile

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Miradi ya Mwanza ni ya kuboost uchumi na kufungua kanda ya ziwa, daraja la jpm, meli ya MV Mwanza hapa kazi tu, SGR, via duct, masoko na stendi huo wote ni mnyororo wa kuinua uchumi, nyie arusha endeleeni kujengewa viwanja na maukumbi ya maonesho๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
Back
Top Bottom