Wadau,
Karibuni Maktaba Kuu ya Taifa kuja kujisomea machapisho mbalimbali yalioandikwa na Mwl. Julius K. Nyerere enzi za uhai wake. Pia kutakuwepo machapisho yaliyoandikwa kuhusu yeye. Hii yote ni katika kuadhimisha "Wiki ya Kumkumbuka Baba wa Taifa letu hili la Tanzania.
Aksanteni.
Mdau wa...
Kwa wale wanaopenda kuja kujifunza 'Basic Computer Course' ambayo hutolewa bure katika maktaba zetu za Dar es salaam, Arusha, Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro, Mtwara, Tanga na Morogoro mnaombwa mtume muakilishi wenu ili aje kuwawekea appoitments itakayowasaidia kujua tarehe ya kuanza. Tembeleeni...
Jumamosi inakuwa wazi mdau... ila Jumapili na siku za sikukuu inakuwa imefungwa. Tafadhali fika wiki hii ya tarehe 5/9 hadi 8/9 kuna maonesho ya kujisomea uone machapisho mbalimbali
Mkuu... Maktaba inafunguliwa Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 1 jioni. Siku ya Jumamosi ni saa 3 asubuhi hadi saa 8 mchana. Jumapili na siku za sikukuu inakuwa imefungwa. KARIBU SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.