Viuatilifu ni kemikali za asili au za kisasa zinazotumiwa na wakulima ili kupambana zidi ya wadudu waharibifu na magonjwa mbali mbali yanaoshambulia mazao yao yawapo shambani au yakiwa ghalani.
Imezoeleka wakulima wengi hutumia mbolea za viwandani ili kuipatia mimea virutubisho muhimu kwa ajili...
Hello,
Kwa majina naitwa SOSOMA JAMES
Ni mtaalamu katika masuala ya kilimo niliyehitimu SUA.
Nina miaka 24 na niko na shida ya usikivu kwa mbali. Ninatafuta kazi katika masuala ya kilimo hasa uchunguzi na uzalishaji wa mazao mbalimbali mashambani.
Asanteni unaweza nicheki PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.