Wasaalam,
Kama somo tajwa hapo juu. Yeyote anayetaka saruji (cement) ya twiga kwa bei ya jumla.
Kiwango cha chini ni tani 10 au mifuko 200 kwa dar.
Mikoani ni kuanzia tani 25 au mifuko 500.
Mwenye kuhitaji aje pm kwa maelezo zaidi.
Asanteni
Karibuni.
Wakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zina tofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwezi kwenda nalo masafa marefu kama Dar to Kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.