wanajamii, umofia kwenu!
Kuna gazeti linachapishwa nchini tanzania linaitwa uhuru. Hili gazeti halionekani kwenye meza wala sehemu yoyote ya kuuzia magazeti! Je, kwanini haliingizwi sokoni? Kama halipo sokoni lauziwa wapi na lachapishwa kwa ajili ya nani? Je, gharama ya kulichapisha inalipikaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.