Mimi mwaka jana kuna rafiki yangu yupo Dubai nilienda kwake baada kurudi Tanzania aliniambia kazi zipo nyingi sana hasa za Ulinzi pia aliniambia kuna safari za Canada lakini kwa Canada ni kwa kujilipua kwa ukimbizi.
Ila kwa Dubai nilishindwa kwa Mshahara aliniambia ni 2700 kwa fedha za kule...
Kwa kweli hawa Dada zangu amekosa washauri mpaka wajiunge ACT kwanza lazima wakumbuke hiki chama kilivyoasisiwa mpaka anakabidhiwa Zitto.
Labda wangejiunga na Cuf afadhali au waombe msamaha kwa chama Chao kwani wakiondoka ndo mwisho wao kisiasa.
Sorry sana Mkuu
Umri wako nimeuona Mkuu. Sasa ushauri wangu ni huu hapa kwa umri huo.
Hicho Ulrich on a go tafuta ingia ktk nchi hizi Malawi, Zambia na Msumbiji tafuta Watanzania walioko huko hutajutia.
Kajishughulishe biashara yoyote ile Mgahawa, ununuzi vyuma chakavu kwani nakushauri...
Pole sana Dada kwa kupoteza kazi.
Nakushauri sio wote wanaotakuwa kujua kwamba umeounguzwa kazi angalia wale wa muhimu na hata hao uwe makini nao.
Kwa ujumla ijulishe familia yako ndo wa muhimu sana.
Mm nilikutana hili jambo 2020 lakini nashukuru sana familia yangu yaani ndugu hasa mke wangu...
Alilolipanga Mungu Mwanadamu hawezi kulitekeleza.
Ndo maana hiki ulichokimaanisha hakiwezekani.
Na mm nikiwa kama binadamu nasema hivi hili ulilolimanisha halitakuwa bali ataishi na kuyatenda makuu kama aliyoyatenda Musa juu ya Wanaizraeli.
Amina
Mku ukisema wapinzani hawaelewi wafanyeje kumbuka mkutano ulioitishwa ni kwa ajili ya kuja kujibu hoja za wapinzani na Chadema kimeshasema mwisho wa maridhiano ni mwezi huu ujanja wa kuridhiana hatuna ila ujanjaujanja na wao wameshakuwa wajanja.
Tujiandae kujibu hoja tuu kwani tusidharau...
Kafulila jitahidi pia kuangalia upande wa pili kwani maisha sio siasa tu kwani hata Hapi ameamua kuingia ktk kilimo.
Ukweli humweka mtu huru na mtu huru huaminiwa kwa hoja zake kwani sio za kuokoteza kwa kuwa ndo fani yake.
Heche sio jeuri kwani ujuwaji wa mambo mengi ndo unakufanya umwone ni jeuri kumbuku huwa anasimamia. hoja.
Ndo maana Dr Mollel alishindwa kwa kuwazungumzia watu badala ya. hoja iliyompeleka ktk kipindi.
Nikiwa kama mwanaccm hili linatokana na kutojiamini ktk jamii kutokana na matendo wanayosimamia viongozi.
Mfano leo nilikuwa nasubiria daladalq hapa kwa mkuu wa mkoa Ilala nikawa nimejibanza ukutani akaja kijana mmoja akaniambia sirusiwi nikamuuliza kwanini akanijibu ndo uongozi umepanga hivyo.
Pamoja unaccm wangu Heche ni Kiongozi anastahili hiyo nafasi.
Na hili Dr Mollel analijua alijibu hoja zake kama mwanasiasa anayejutambua kwani Heche hashughuliki na personal issue ktk kujibu hoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.