Nimeona wimbi la mapinduzi limeanza upya Afrika hasa Afrika Magharibi lakini kote vinara wa mapinduzi ni maofisa wa Jeshi wenyevyeo vya kati kama Makanali, Mameja na Makepteni.
Tazama Historia na facts.
1. Gamal NASER alipundua Egpt akiwa Kapteni
2. Muamal Ghadafi alipundua Libya kiwa Kanali
3...
Kutoka WhatsApp Group nimepata hili.
=====
Kadri ya Rais Lovodymyry Zelensky wa Ukraine na Uteuzi wa Comedian Michopanga (Juma Chikako kuwa DC Rorya
Wakati vijana wengi wakikosoa bila hoja, kwa misukumo ya ukada wa vyama na agenda binafsi za kuonesha Rais Mhe SSH siyo makini..
Wote wanaohoji...
Mhe Katambi chunguza CWT makato yawe 1% kwa mwezi Walimu tufurahi.
Kwa uteuzi wa kuwa Naibu Waziri wa wizara ajira na kazi, binafsi nilifurahi sana. Nilifurahi kwani, nakujua uwezi wako tangu tukiwa chuo kikuu cha Mt Augustine Mwanza.
Nakumbuka ulivyokuwa mfuatiliaji ukiwa kiongozi wa Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.