Marehem kaacha watoto wa kike wawili! Alafu ni warembo mnoo. Sasa mnaotaka historia fupi kwani hamjui mke na watoto wa marehemu hawatopata wa kuwawowa tena!!? Kafa na slim...
Hivi unatambua kwamba jeshi la wananchi wa Tanzania linaongozwa na sheria zake na ni serikali!?. Kasome vizuri sheria za jeshi mkuu! Mkuu wa majeshi ni km Rais, ila kutokana na mamlaka anapaswa kuwa na mkuu juu yake. Ambaye atakuwa na mamlaka kikatiba! Lkn mkuu wa majeshi anayo mamla ya kumkemea...
Naona mmefunga shule, sasa mnatusumbua na upepo mliolishwa!! Jitahidi umalize japo kidato cha nne. Kitakufungua ufahamu na utaweza kuchangia humu jukwaani. Sasa hivi uwe unatoa like na dislike tu!
Km kweli nyie ni Man City na mnamuamin Gadiola wenu! Ruhusuni na bibi kizee wa turini nae auchezee mpira. Alafu tuone ni nani atawaamsha mashabiki vitini!! Sasa hiyo style ya mpira wa upande mmoja bado mnajidai!? Hovyooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.