MTOTO: baba kuna tofauti gani kati ya kilichopo katikati ya mapaja ya mama na kwako?
BABA: kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO na kwangu kuna UFUNGUO wa kufungulia hilo geti
MTOTO: kama ni hivyo nakushauri ubadilishe kitasa kwani nahisi jirani yetu kachongesha FUNGUO nae anafungua...
VISA VYA KUZAA NJE YA NDOA:
Kijana alitaka kuoa, akamwambia baba yake niposewe msichana fulani. Babake akamwambia tafuta kwingine, yule ni dada yako, ila mamako hajui usimwambie. Kijana akatafuta msichana mwingine. Baba akamweleza huyo naye ni dadako, mamako hajui. Kijana akamtafuta wa tatu...
Jamaa alikatika mkono 1,Baada ya kuona MAISHA yanazidi kuwa magumu, akapanda ghorofani ili ajitupe chini. Kabla hajajitupa akamwona mtu hana mikono yote akiruka kwa furaha akamwuliza, "Mbona unaruka kwa furaha wkt huna mikono yote?" Jamaa akamjibu, "Furaha wapi? Hapa ****** unawasha nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.