Paschal, asante kwa uchambuzi wako. Hakuna nchi inaitwa au iliwahi kuitwa Tanzania Bara. Muungano huu ni fumbo.
Rais wa Zanzibar akienda nchi za nje anatambulika kama Rais au namna gani?
Tatizo ni wewe! Bashe ni kati ya vijana na waziri makini SANA nchi hii, anashirikisha, anadhubutu, anafikirisha, anatenda!
Tungekuwa na mawaziri 5 wa aina ya Bashe, Tanzania ingeingia kwenye record ya nchi za kipato kikubwa kwa kila mwanabchi.
Gwajima amengukuwa ni mwanachama wa CHADEMA msingekuwa mmesubiri hata tamko...
Kila siku wanaimba Weledi, weledi, sijawahi ona ni mahali gani weledi wao hautiliwi shaka.
Wakumlaumu ni yeyote ambaye hakuoiga kura. Tumeona miaka yote wasiopiga kula bara ni zaidi au karibu na 50%. Hapa hata mwizi mnampatia gepu kubwa la kufanya ufedhuli wake. Lakini pia kama waliopiga kura ni 50% na bado over 50% wanachagua mtu, maana yake ambao hawakupiga kura wangefanya hivyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.