Katika hali ya kushangaza bango la kuelekeza mkoa wa shinyanga lililo mbele ya mizani ya usagara ktk jiji la Mwanza,limetelekezwa likiwa limeanguka upande mmoja,bango hili lina zaidi ya mwaka sasa,ni aibu na ni uzembe kwa watumishi wa miundombinu maana liko mbele ya ofisi yao,Wadau tusaidiane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.