Mtoto wa Mkulima, huu ni mwanzo tu. Serikali isipowajali watu wake tutaishia kuwachinja wageni mmoja mmoja na sijui watafanya nini. Kweli speech ya Kaburu Botha imenisikitisha sana lakini hata mimi nakubaliana na mambo mengine aliyoyasema.
Sisi tunapenda starehe kuliko kazi, na tunadharauliana...
Uzuri wa siasa ndio huu, kwani kila kambi inazusha. Ukweli utajulikana baada ya mahakama kulishughulikia hili. Kesi imepangwa kusikilizwa/kutajwa tarehe 5 Oktoba, na sidhani kama uchaguzi utafanyika bila muelekeo wa kesi kufahamika. Cha muhimu kujua hapa ni kwamba PCCB huko nyuma walikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.