laiti natamani angejua nilivyo na uhitaji na kazi na jinsi watu wanavyo hangaika kutafuta angalau hata pa kujivolontia yeye ana leta mchezo na kazi haaaaaa! ameni shangaza sana.
Kuna kijana amejaribu kututuma ujumbe kwa email yako but inafail ila yupo ful nondo ana mauzoefu mcheki kwa namba hii 0716074203 anapiga kazi sana chonga naye
Afadhali wew ambaye unanafasi ya kuchagua mahali na mkoa unaotaka kufanya kazi na mshahara unaotaka sisi wengine hatuna kazi hata tukiambia popote kule maadamu watu wanaishi tunaenda haijalishi ni kiasi gani tutalipwa
hongera yako mkubwa.
habari za saizi wana jamvi yupo kijana mwenye umri wa miaka 23 amemaliza kidato cha nne anaitaji kazi yeyote ya kufanya kwa anyehitaji ani PM kwa maelez zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.