Habari kutoka vyanzo mbalimbali vinasema Charles Kimei halali kusaka ugavana wa benki kuu ikiwa kununua waandishi wa habari ili kila leo aonekane wakati mwingine kwenye shughuli zisizokuwa na kichwa wala miguu atahakikisha anapata coverage ya kutosha.
na amekuwa akiona JK anakwenda mahala...
Sawa nimeshauriwa kama nataka kumjadili Mbowe nifungue thread mpya, sasa hii kwa kuangalia hii NGO [au niseme SACCOS ya exclusive members?] CHADEMA nimegundua mgombea urais MBOWE ni bomu heri hata Chifupa.
Inaonyesha kuna baadhi yenu hamjashtukizia jinsi profile za Chifupa na Mbowe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.