Hv cdm hamjiuliz kuwa hao wasom huwa wanabak mijin lin wataenda vijin,ila sasa hv ham2dangany mwaka juz mulisema eti saluj ni buku 5 ingewezekana kule kwa padr mwenyewe hali ni tete,
Mi nafikir baada ya muda utasikia mgomo hapo mzumbe alafu wakifukuzwa wanalalama,wenzenu wanaenda magogon kunywa kahawa na kashata,baadae unakuwa kama lema na mwenyekit na elimu za ajabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.