Search results

  1. S

    Tafadhali msaidie mtoto Gwakisa aweze kupata matibabu

    Habari Wakuu, Kuna suala ambalo linahitaji mchango wetu kama Watanzania, kama Binadamu na kama Wazazi. Kuna mtoto wa Kitanzania anaitwa Gwakisa Aliko Mwaibambe mwenye umri wa miaka 5 aliye na tatizo la kuziba mdomo kutokana na ugonjwa wa NOMA (Cancrum Oris) anahitaji kupelekwa India kwa ajili...
Back
Top Bottom