Habari Wakuu,
Kuna suala ambalo linahitaji mchango wetu kama Watanzania, kama Binadamu na kama Wazazi.
Kuna mtoto wa Kitanzania anaitwa Gwakisa Aliko Mwaibambe mwenye umri wa miaka 5 aliye na tatizo la kuziba mdomo kutokana na ugonjwa wa NOMA (Cancrum Oris) anahitaji kupelekwa India kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.