Wakuu msaada tafadhali!
Ni kampuni zipi za upimaji [lLand Survey] zinazoshiriki katika ujenzi wa miradi ya kimkakati hapa nchini Tanzania? Hasahasa wanaofanya engeneering survey.
Nahitaji kuomba nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo [Field] itakayoanza mwanzoni mwa mwezi huu wa tisa, na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.